Kuomba Maghfirah, Rahmah, Hidaaya, Kuungwa, Afya, Rizki, Kunyayuliwa Daraja
Kuomba Maghfirah, Rahmah, Hidaaya, Kuungwa, Afya, Rizki, Kunyayuliwa Daraja
اللّهُـمَّ اغْفِـرْ لي، وَارْحَمْـني، وَاهْدِنـي، وَاجْبُرْنـي، وَعافِنـي وَارْزُقْنـي وَارْفَعْـني
Allaahummagh-fir-liy warhamniy, wahdiniy, wajburniy, wa ‘aafiniy, warzuqniy, warfa’-niy
Ee Allaah, nighufurie, na nirehemu, na nihidi na niunge kunitengenezea niliyoharamika nayo, na nipe afya, na niruzuku, na nipandishe [daraja]. Aswhaabus-Sunan isipokuwa An-Nasaaiy. Nyiradi katika kikao baina ya Sajdah mbili
Comments
Post a Comment