Du'aa ya kumuombea uliyefuturu/futari kwake
Du'aa ya kumuombea uliyefuturu/futari kwake
أ َفْطَـرَ عِنْدَكُم الصّـائِمونَ وَأَكَلَ طَعامَـكُمُ الأبْـرار، وَصَلَّـتْ عَلَـيْكُمُ الملائِكَـة
Aftwara 'Indakumu-Swaaimuna Wa Akala Twa'aamakumul-Abraar, Waswallat 'Alyakumul-Malaaikah.
"Wafuturu kwenu waliofunga na wale chakula chenu watu wema, na wawaombee rehema malaika"
Comments
Post a Comment