Du'aa Kabla Ya Kula
Du'aa Kabla Ya Kula
بِسْمِ الله
Bismillahi
"Kwa Jina La Allaah"
Na akisahau mwanzo wake basi aseme:
بِسْمِ اللهِ في أَوَّلِهِ وَآخِـرِهِBismillahi Fiy Awwalihi Wa Aakihirihi
"Kwa jina la Allaah mwanzo Wake na mwisho Wake"
اللّهُـمَّ بارِكْ لَنا فيهِ وَأَطْـعِمْنا خَـيْراً مِنْـهُ
Allaahumma Baarik Lana Fiyhi Wa Atw'imna Khayran minhu.
"Ee Allaah Tubariki katika chakula hichi na Tulishe bora kuliko hichi "
Na yeyote ambae Amemruzuku maziwa basi aseme:
"Ee Allaah Tubariki katika chakula hichi na Tulishe bora kuliko hichi "
Na yeyote ambae Amemruzuku maziwa basi aseme:
اللّهُـمَّ بارِكْ لَنا فيهِ وَزِدْنا مِنْهُ
Allaahumma Baarik Lana Fiyhi Wazidna Minhu
"Ee Allaah Tubarikie kinywaji hichi na Utuzidishie"
Comments
Post a Comment