Dua baada ya kutawadha

Dua baada ya kutawadha

[أشهد أن لا إله إلا الله وحده لا شريك له ، وأشهد أن محمداً عبده ورسوله] رواه مسلم

 [Nakiri kwa moyo na kusema kwaulimi kwamba hapana Mola apasae kuabudiwa kwa haki ila ni Mwenyezi Mungu , peke yake, wala hana mshirika wake, na ninakiri kwamba Muhammad ﷺ ni mja wake na ni Mtume wake.] [Imepokewa na Muslim.] 

 [اللهم اجعلني من التوابين واجعلني من المتطهرين] الترمذي 1/ 78 وانظر صحيح الترمذي
 [Ewe Mwenyezi Mungu nijaaliye niwe miongoni mwa wale wanaoomba msamaha, na nijaalie miongoni mwa wale waliosafi.] [Imepokewa na Al-Tirmidhiy.]

 [سبحانك اللهم وبحمدك أشهد أن لا إله إلا أنت أستغفرك وأتوب إليك] النسائي في عمل اليوم والليلة ص
 [Utakatifu ni Wako, Ewe Mola wangu, na shukurani zote zinarudi Kwako, nakiri kwamba hapana apasae kuabudiwa kwa haki ila ni Wewe, naomba msamaha wako, na narejea kwako (kwa kutubia )] [Imepokewa na Al-Nasai.]

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA YA NABII SULEIMAAN

The Story of Prophet Dhul Kifl

Full Story of the Prophet Ayyub