Vipi Kuzifunga Swiyaam Za Sitta Shawwaal?




Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) amesema:

"Muumini huchagua atakavo kuzifunga katika mwezi wote; akitaka afunge mwanzo wake, au katikati yake au mwishoni mwake, na akitaka afunge kwa kutofululiza, na akitaka afululize."

[Al-Fataawaa (15/390)]

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA YA NABII SULEIMAAN

The Story of the Prophet Idris (AS)

The Story of Prophet Dhul Kifl