Mume Na Mke Wameingiliana Mchana Wa Ramadhwaan Kwa Kuridhiana




Mume Na Mke Wameingiliana Mchana Wa Ramadhwaan Kwa Kuridhiana

Shaykh ‘Abdul-Muhsin Al-‘Abaad (Hafidhwahu-Allaah)

SWALI:

Mwanamke ambaye mumewe amemuingilia (mchana wa) Ramadhwaan naye yuko radhi. Nini hukmu yake mwanamke huyo?

JIBU:

Ni juu yake mwanamke kulipa kafara na mumewe pia mfano wake (alipe kafara).

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA YA NABII SULEIMAAN

UTANGULIZI