Mume Na Mke Wameingiliana Mchana Wa Ramadhwaan Kwa Kuridhiana




Mume Na Mke Wameingiliana Mchana Wa Ramadhwaan Kwa Kuridhiana

Shaykh ‘Abdul-Muhsin Al-‘Abaad (Hafidhwahu-Allaah)

SWALI:

Mwanamke ambaye mumewe amemuingilia (mchana wa) Ramadhwaan naye yuko radhi. Nini hukmu yake mwanamke huyo?

JIBU:

Ni juu yake mwanamke kulipa kafara na mumewe pia mfano wake (alipe kafara).

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA YA NABII SULEIMAAN

The Story of Prophet Dhul Kifl

Full Story of the Prophet Ayyub