Imemjia Hedhi Baada Ya Magharibi Kabla Ya ‘Ishaa Swawm Yake Sahihi?




 Al-Lajnah Ad-Daaimah

SWALI:

Inapokuwa mwezi wa Ramadhwaan baada ya kufuturu na baada ya Swalaah ya ‘Ishaa imemjia hedhi; je, alipe siku hiyo au swawm yake sahihi?

JIBU:

Swawm ya ambaye imemjia hedhi baada ya Magharibi na kabla ya Swalaah ya ‘Ishaa ni sahihi swawm yake aliyofunga siku hiyo wala haimwajibikii kuilipa.

Wa bi-LLaahi At-Tawfiyq wa Swalla Allaahu ‘alaa Nabiyyinaa Muhammad wa ‘alaa Aalihi wa Swahbihi wa sallam

[Fataawaa Al-Lajnah Ad-Daaimah (14043)]

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA YA NABII SULEIMAAN

The Story of Prophet Dhul Kifl

Full Story of the Prophet Ayyub