10 : Kuoga Ni Bora Zaidi





Kwa vyovyote, kukoga josho (ghuslu) kunapendeza zaidi kuliko kufanya wudhuu katika hali kama hizi.  Abu Raafi' amesimulia kwamba:

أنَّ النَّبي صلى الله عليه وسلم طاف ذَاتَ يَوْمٍ علَى نِسائِهِ يَغْتَسِلُ عِنْدَ هَذِهِ وَعِنْدَ هَذِهِ. قال فَقُلْتُ لَهُ: يا رسولَ الله ألاَ تجْعَلُهُ غُسْلاً وَاحِداً؟ قال: ((هَذَا أزْكَى وَأطْيَبُ وَأطْهَرُ))

"Mtume aliwazungukia (aliwaingilia) wake zake usiku mmoja, akikoga katika kila nyumba ya mmoja wao". Yeye (msimuliaji) alimuuliza Mtume, je, si ungeliweza kukoga mara moja tu?' (yaani mwishoni). Mtume akajibu: ((Hivi ni utakaso zaidi, usafi na bora))[1]

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA YA NABII SULEIMAAN

The Story of Prophet Dhul Kifl

Full Story of the Prophet Ayyub