Swawm Ya Siku Sita Za Shawwaal Zikiangukia Jumatatu Na Alkhamiys Kunapatikana Thawabu Kwa Zote Ikiwekwa Niyyah Mbili



Imaam Ibn 'Uthaymiyn (Rahimahu Allaah) amesema:

"Inapoafikiana kuwa Swawm katika masiku haya sita (siku sita za mwezi wa Shawwaal) na (yakukutana) na siku ya Jumatatu au Alkhamiys, basi (mtu) hupata ujira wa (Swawm) mbili (anapofunga) kwa niyyah  ya (kupata) ujira wa masiku sita (ya Shawwaal) na kwa niyyah ya (kupata) ujira wa siku ya Jumatatu au Alkhamiys, kwa kauli yake (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam):

"Hakika matendo (hulipwa) kwa niyyah, na hakika kila mtu (hulipwa) kwa kile alichonuia."

[Fataawaa Islaamiyyah, mj. 2, uk. 154]

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA YA NABII SULEIMAAN

Full story of theProphet Al-Yasa

Umuhimu Wa Dua Katika Uislamu Na Njia Ya Kuomba