DUA YA KUMTAAZI ALIYEFILIWA

DUA YA KUMTAAZI ALIYEFILIWA

 إن لله ما أخذ وله ما أعطى . وكل شيء عنده بأجل مُسمى …فلتصبر ولتحتسب:  البخاري 2/80 ومسلم 2/63

[Kwa hakika ni Chake Mwenyezi Mungu Alichokichukua, na ni chake Alichokitoa, na kila kitu Kwake kina muda maalum]

(…….kisha Mtume ﷺ akimwambia:)  “basi vumilia na taka malipo kwa Allaah” ]    [Imepokewa na Bukhari na Muslim.] na akisema:

 [ أعظم الله أجرك ، وأحسن عزاءك وغفر لميتك ]

[Ayafanye mengi Allaah malipo yako, na Akufanye kuzuri kutaaziwa (kuhaniwa) kwako na Amsamehe maiti wako.] …basi ni bora         [Tazama Al-Adhkaar ya Imam Al-Nnawawiy]

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA YA NABII SULEIMAAN

Full story of theProphet Al-Yasa

Umuhimu Wa Dua Katika Uislamu Na Njia Ya Kuomba