Lipi Lililo Bora Katika Kufunga Sitta Shawwaal?




Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) amesema:

"Akifanya hima kuzifunga mwanzoni mwa mwezi basi ni bora zaidi."

[Al-Fataawaa (15/390)]


Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah) amesema:

"Lililo bora kufanywa kuhusu Swiyaam za Sitta Shawwaal ni kuzifunga siku sita baada ya ‘Iyd na ziwe za kufufuliza."

[Al-Fataawaa (20/20)]

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA YA NABII SULEIMAAN

The Story of the Prophet Idris (AS)

The Story of Prophet Dhul Kifl