Je, Inafaa Kutanguliza Swiyyaam Za Sitta Shawwaal Kabla Ya Swiyaam Za Kafara?




Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) amesema:

"Lililo waajib ni kuhimiza Swiyyaam za kafara wala haijuzu kutanguliza Swiyaam za Sitta Shawwaal kabla yake kwa sababu hizo ni Naafil (Sunnah) na kafara ni fardhi ambayo ni waajib ipasayo kutimizwa haraka."

[Al-Fataawaa (15/394)]

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA YA NABII SULEIMAAN

Full story of theProphet Al-Yasa

Umuhimu Wa Dua Katika Uislamu Na Njia Ya Kuomba