Je, Akifunga Sitta Shawwaal Atawajibika Kufunga Kila Mwaka?




Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah) amesema:

"Akifunga baadhi ya miaka na akaacha baadhi ya miaka hakuna ubaya kwa sababu hiyo ni Sunnah na si fardhi."
[Al-Fataawaa (20/21]

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA YA NABII SULEIMAAN

Full story of theProphet Al-Yasa

Umuhimu Wa Dua Katika Uislamu Na Njia Ya Kuomba